2 Samueli 24:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Na Daudi alipoondoka asubuhi, neno la BWANA likamjia nabii Gadi, mwonaji wake Daudi, na kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Daudi alipoamka kesho yake asubuhi, wakati huo Mwenyezi-Mungu alimpa ujumbe nabii Gadi mwonaji wa mfalme Daudi, akisema, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Daudi alipoamka kesho yake asubuhi, wakati huo Mwenyezi-Mungu alimpa ujumbe nabii Gadi mwonaji wa mfalme Daudi, akisema, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Daudi alipoamka kesho yake asubuhi, wakati huo Mwenyezi-Mungu alimpa ujumbe nabii Gadi mwonaji wa mfalme Daudi, akisema, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la Mwenyezi Mungu lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la bwana lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema: Tazama sura |