2 Samueli 23:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 ila huyo alisimama katikati ya konde lile, akalipigania, akawaua Wafilisti; naye BWANA akafanya wokovu mkuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalipigania na kuwaua Wafilisti, naye Mwenyezi Mungu akawapa ushindi mkubwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye bwana akawapa ushindi mkubwa. Tazama sura |