2 Samueli 22:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia; Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia maana walikuwa na nguvu nyingi kunishinda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia maana walikuwa na nguvu nyingi kunishinda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu, aliniokoa kutoka kwa hao walionichukia maana walikuwa na nguvu nyingi kunishinda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Aliniokoa kutoka adui yangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi. Tazama sura |