2 Samueli 19:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Naye mfalme akamwambia Barzilai, Uvuke pamoja nami; nami nitakulisha kwangu huko Yerusalemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Basi, mfalme Daudi akamwambia Barzilai, “Twende wote huko Yerusalemu nami nitakutunza.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Basi, mfalme Daudi akamwambia Barzilai, “Twende wote huko Yerusalemu nami nitakutunza.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Basi, mfalme Daudi akamwambia Barzilai, “Twende wote huko Yerusalemu nami nitakutunza.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.” Tazama sura |