Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Samueli 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, Nenda nyumbani kwako, nami nitakufanyia agizo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”

Tazama sura Nakili




2 Samueli 14:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, jamaa yote wameniinukia mimi mjakazi wako, wakasema, Mtoe yule aliyempiga nduguye, ili tupate kumwua yeye kwa maisha ya nduguye aliyemwua, hata na kumwua mrithi pia; ndivyo watakavyolizima kaa langu lililobaki, wasimwachie mume wangu jina wala mabaki usoni pa nchi.


Ndipo huyo mwanamke wa Tekoa akamwambia mfalme, Na uwe juu yangu, Ee bwana wangu mfalme, na juu ya nyumba ya baba yangu uovu huu; wala kwa mfalme na kwa kiti chake cha enzi pasiwepo hatia.


Ndipo mfalme akamwambia Siba, Tazama, yote yaliyokuwa ni mali ya Mefiboshethi ni yako. Siba akasema, Mimi ninasujudu; na nione kibali machoni pako, Ee bwana wangu, mfalme.


Nilikuwa baba kwa mhitaji, Na kesi ya mtu nisiyemjua niliichunguza.


Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo