2 Samueli 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, Nenda nyumbani kwako, nami nitakufanyia agizo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mfalme akamwambia yule mwanamke, “Rudi nyumbani nitaamuru jambo lako liangaliwe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.” Tazama sura |