Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 10:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakakusanyika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 10:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Amoni walipoona ya kwamba Washami wamekimbia, wakakimbia nao mbele ya Abishai, wakaingia mjini. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.


Naye Hadadezeri akatuma na kuwaleta Washami waliokuwako ng'ambo ya Mto; nao wakaja Helamu, naye Shobaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri, akawaongoza.


Tena Daudi akampiga Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kujipatia tena mamlaka yake huko Mtoni.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


walizima nguvu za moto, waliokoka kutoka kwa makali ya upanga. Walitiwa nguvu baada ya kuwa dhaifu, walikuwa hodari katika vita, walikimbiza majeshi ya wageni.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo