Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 9:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 9:28
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao farasi aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi, kila kundi na thamani yake.


Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.


Nao walipandisha na kununua gari kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha; na farasi kwa mia moja na hamsini, vivyo hivyo wakawauzia wafalme wote Wahiti na wafalme wa Shamu.


Sulemani akawa na mazizi ya farasi na magari elfu nne, na wapandao farasi elfu kumi na mbili, aliowaweka katika miji ya magari, na pamoja na mfalme huko Yerusalemu.


Ole wao wateremkao kwenda Misri wapate msaada, na kutegemea farasi; watumainio magari kwa kuwa ni mengi, na wapanda farasi kwa kuwa ni hodari sana; lakini hawamwangalii Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti BWANA!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo