Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 8:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Naye Sulemani akaenda Hamath-zoba, akauteka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Baadaye Solomoni alielekea Hamath-zoba na kuuteka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Baadaye Solomoni alielekea Hamath-zoba na kuuteka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Baadaye Solomoni alielekea Hamath-zoba na kuuteka,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kisha Sulemani akaenda Hamath-Soba na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kisha Sulemani akaenda Hamath-Soba na kuuteka.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 8:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Daudi akampiga Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kujipatia tena mamlaka yake huko Mtoni.


Basi mambo yote ya Yeroboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake, na jinsi alivyopigana, akawapatia tena Israeli Dameski na Hamathi, iliyokuwa kwanza ya Yuda, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Israeli?


Yuko wapi mfalme wa Hamathi, na mfalme wa Arpadi, na mfalme wa mji wa Sefarvaimu, na wa Hena, na wa Iva?


Tena Daudi akampiga Hadadezeri, mfalme wa Soba, mpaka Hamathi, alipokwenda kujisimamishia mnara wa ukumbusho kwenye mto wa Frati.


ndipo Sulemani akaijenga miji ile Hiramu aliyompa Sulemani, akawapa makao humo wana wa Israeli.


Akaujenga Tadmori wa nyikani, na miji yote ya hazina, aliyoijenga katika Hamathi.


Basi wakapanda wakaipeleleza nchi toka jangwa la Sini hadi Rehobu, mpaka kuingia Hamathi.


na kutoka mlima wa Hori mtaweka alama hadi Hamathi; na kutokea kwake mpaka hadi hapo Sedada;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo