Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 ndipo Sulemani akaijenga miji ile Hiramu aliyompa Sulemani, akawapa makao humo wana wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Solomoni aliijenga upya miji aliyopewa na Huramu, halafu akawapa Waisraeli miji hiyo waishi humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Solomoni aliijenga upya miji aliyopewa na Huramu, halafu akawapa Waisraeli miji hiyo waishi humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Solomoni aliijenga upya miji aliyopewa na Huramu, halafu akawapa Waisraeli miji hiyo waishi humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Sulemani akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Sulemani akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 8:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Rehoboamu akakaa Yerusalemu, akajenga miji yenye ngome katika Yuda.


Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani aliijenga nyumba ya BWANA, na nyumba yake mwenyewe;


Naye Sulemani akaenda Hamath-zoba, akauteka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo