2 Mambo ya Nyakati 8:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Ndipo Sulemani akaenda Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kisha Solomoni alikwenda Esion-geberi na Elothi iliyo pwani mwa bahari, katika nchi ya Edomu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kisha Solomoni alikwenda Esion-geberi na Elothi iliyo pwani mwa bahari, katika nchi ya Edomu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kisha Solomoni alikwenda Esion-geberi na Elothi iliyo pwani mwa bahari, katika nchi ya Edomu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ndipo Sulemani akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ndipo Sulemani akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu. Tazama sura |