Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 8:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Basi ikatengenezwa kazi yote ya Sulemani hata siku ya kutiwa msingi wa nyumba ya BWANA, na hata ilipokwisha. Hivyo ikamalizika nyumba ya BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi miradi yote ya Solomoni aliyofanya tangu jiwe la msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu lilipowekwa ilikamilika. Hivyo nyumba ya Mwenyezi-Mungu ilimalizika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi miradi yote ya Solomoni aliyofanya tangu jiwe la msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu lilipowekwa ilikamilika. Hivyo nyumba ya Mwenyezi-Mungu ilimalizika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi miradi yote ya Solomoni aliyofanya tangu jiwe la msingi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu lilipowekwa ilikamilika. Hivyo nyumba ya Mwenyezi-Mungu ilimalizika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kazi yote ya Mfalme Sulemani ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu ulipowekwa hadi kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la Mwenyezi Mungu likamalizika kujengwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kazi yote ya Mfalme Sulemani ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la bwana ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la bwana likamalizika kujengwa.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 8:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na waashi wa Sulemani na waashi wa Hiramu na Wagebali wakayachonga, wakaweka tayari miti na mawe ya kuijenga nyumba.


Katika mwaka wa nne nyumba ya BWANA ilitiwa msingi, katika mwezi wa Zivu.


Na katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, kulingana na kanuni zote. Basi muda wa miaka saba alikuwa katika kuijenga.


Na nyumba ilipokuwa ikijengwa, ikajengwa kwa mawe yaliyokwisha kuchongwa machimboni; wala nyundo, wala shoka, wala chombo cha chuma chochote, sauti yake haikusikiwa ilipokuwa ikijengwa nyumba.


Wala hawakuyaacha maagizo ya mfalme aliyowaamuru makuhani na Walawi kwa neno lolote, wala kwa habari ya hazina.


Ndipo Sulemani akaenda Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo