2 Mambo ya Nyakati 8:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani aliijenga nyumba ya BWANA, na nyumba yake mwenyewe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Miaka ishirini, ambayo Solomoni aliijenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu na ikulu ilipokwisha kupita, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Miaka ishirini, ambayo Solomoni aliijenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu na ikulu ilipokwisha kupita, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Miaka ishirini, ambayo Solomoni aliijenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu na ikulu ilipokwisha kupita, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani alilijenga Hekalu la Mwenyezi Mungu na jumba lake mwenyewe la kifalme, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani alilijenga Hekalu la bwana na jumba lake mwenyewe la kifalme, Tazama sura |