2 Mambo ya Nyakati 6:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC40 Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 “Sasa ee Mungu wangu, tuangalie na upokee maombi tutakayoomba mahali hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 “Sasa ee Mungu wangu, tuangalie na upokee maombi tutakayoomba mahali hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 “Sasa ee Mungu wangu, tuangalie na upokee maombi tutakayoomba mahali hapa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yanayoombwa katika mahali hapa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa. Tazama sura |
tega sikio lako, macho yako yakafumbuke, upate kuyasikiliza maombi ya mtumishi wako, ninayoomba mbele zako wakati huu, mchana na usiku, kwa ajili ya wana wa Israeli, watumishi wako; hapo ninapoziungama dhambi za wana wa Israeli, tulizozifanya juu yako; naam, mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.