2 Mambo ya Nyakati 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Basi sasa, Ee BWANA, Mungu wa Israeli, ulithibitishe neno lako, ulilomwambia mtumishi wako Daudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Sasa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nakusihi utimize yote uliyomwahidi mtumishi wako Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Sasa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nakusihi utimize yote uliyomwahidi mtumishi wako Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Sasa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nakusihi utimize yote uliyomwahidi mtumishi wako Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Sasa, Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Sasa, Ee bwana, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie. Tazama sura |