2 Mambo ya Nyakati 4:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Tena akatengeneza ua wa makuhani, na ua mkubwa, nayo milango yake, akaifunikiza kwa shaba milango yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Alitengeneza ua wa ndani wa makuhani na mwingine mkubwa wa nje, na milango ya ua ambayo aliifunika kwa shaba; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Alitengeneza ua wa ndani wa makuhani na mwingine mkubwa wa nje, na milango ya ua ambayo aliifunika kwa shaba; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Alitengeneza ua wa ndani wa makuhani na mwingine mkubwa wa nje, na milango ya ua ambayo aliifunika kwa shaba; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Akatengeneza ukumbi wa makuhani, na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba. Tazama sura |