Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 4:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 na maua, na taa, na makoleo, ya dhahabu, ndiyo dhahabu bora;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 maua, taa na koleo, vyote vikiwa vya dhahabu safi kabisa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 maua, taa na koleo, vyote vikiwa vya dhahabu safi kabisa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 maua, taa na koleo, vyote vikiwa vya dhahabu safi kabisa;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 4:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na ndani ya nyumba, mlikuwa na mwerezi ulionakishiwa maboga na maua yaliyofunuka wazi; mlikuwa na mwerezi mahali pote; wala mawe hayakuonekana.


Akazinakshi kuta zote za nyumba kwa nakshi za makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi, pande za ndani na nje.


Akanakshi juu yake makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi; akazifunika kwa dhahabu iliyonyoshwa juu ya machoro.


na vinara na taa zake, ziwake kama ilivyoagizwa mbele ya chumba cha ndani, vya dhahabu iliyosafika;


na mikasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu iliyosafika; na kwa habari za mahali pa kuingia nyumbani, milango yake ya ndani ya patakatifu pa patakatifu, na milango ya nyumba, yaani ya hekalu, ilikuwa ya dhahabu.


Na unene wake ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ukafanywa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi; huingia bathi elfu tatu, kukaa ndani yake.


Katika kinara mlikuwa na vikombe vinne, vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi, matovu yake na maua yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo