2 Mambo ya Nyakati 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ndivyo Sulemani alitengeneza vyombo hivi vikiwa vingi sana, uzani wa shaba lliyotumika haukujulikana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Uzani wa shaba iliyotumika kutengenezea vyombo hivi haukujulikana kwa maana Solomoni alitengeneza vyombo vingi sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Uzani wa shaba iliyotumika kutengenezea vyombo hivi haukujulikana kwa maana Solomoni alitengeneza vyombo vingi sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Uzani wa shaba iliyotumika kutengenezea vyombo hivi haukujulikana kwa maana Solomoni alitengeneza vyombo vingi sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Vitu hivi vyote Mfalme Sulemani alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzani wa shaba haungekadirika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Vitu hivi vyote Mfalme Sulemani alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika. Tazama sura |