2 Mambo ya Nyakati 36:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Nebukadneza akachukua baadhi ya vyombo vya nyumba ya BWANA mpaka Babeli, akavitia katika hekalu lake huko Babeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nebukadneza pia alitwaa baadhi ya vyombo vya nyumba ya Mwenyezi-Mungu akavipeleka Babuloni na kuviweka katika ikulu yake huko Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nebukadneza pia alitwaa baadhi ya vyombo vya nyumba ya Mwenyezi-Mungu akavipeleka Babuloni na kuviweka katika ikulu yake huko Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nebukadneza pia alitwaa baadhi ya vyombo vya nyumba ya Mwenyezi-Mungu akavipeleka Babuloni na kuviweka katika ikulu yake huko Babuloni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu na kuviweka katika hekalu lake huko Babeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la bwana na kuviweka katika hekalu lake huko Babeli. Tazama sura |