2 Mambo ya Nyakati 36:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Naye mfalme wa Misri akamwondoa katika Yerusalemu, akaitoza nchi talanta mia moja za fedha, na talanta moja ya dhahabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Baadaye mfalme wa Misri alimwondoa huko Yerusalemu na akaitoza nchi kodi ya kilo 3,400 za fedha na kilo 34 za dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Baadaye mfalme wa Misri alimwondoa huko Yerusalemu na akaitoza nchi kodi ya kilo 3,400 za fedha na kilo 34 za dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Baadaye mfalme wa Misri alimwondoa huko Yerusalemu na akaitoza nchi kodi ya kilo 3,400 za fedha na kilo 34 za dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu, na akatoza Yuda kodi ya talanta mia moja za fedha, na talanta moja ya dhahabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi ya talanta 100 za fedha na talanta moja ya dhahabu. Tazama sura |