2 Mambo ya Nyakati 36:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini wao waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayapuuza maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka hatimaye ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu ikawaka dhidi ya watu wake hata kusiwe na namna yoyote ya kutoroka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini wao waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayapuuza maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka hatimaye ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu ikawaka dhidi ya watu wake hata kusiwe na namna yoyote ya kutoroka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini wao waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayapuuza maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka hatimaye ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu ikawaka dhidi ya watu wake hata kusiwe na namna yoyote ya kutoroka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mwenyezi Mungu wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake hadi ghadhabu ya Mwenyezi Mungu ikawa kubwa dhidi ya watu wake, na hakukuwa na namna ya kuituliza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa bwana wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka ghadhabu ya bwana ikawa kubwa dhidi ya watu wake na hakukuwa na namna ya kuituliza. Tazama sura |