2 Mambo ya Nyakati 36:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake; wala hakujinyenyekeza mbele ya Yeremia nabii aliponena kwa kinywa cha BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, wala hakunyenyekea mbele ya nabii Yeremia ambaye alisema maneno yaliyotoka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, wala hakunyenyekea mbele ya nabii Yeremia ambaye alisema maneno yaliyotoka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, wala hakunyenyekea mbele ya nabii Yeremia ambaye alisema maneno yaliyotoka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Alifanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Alifanya maovu machoni pa bwana Mwenyezi Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la bwana. Tazama sura |