2 Mambo ya Nyakati 35:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Akawaweka makuhani katika kazi zao, akawatia moyo kutumika katika nyumba ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Aliwateua makuhani kwa kazi zao ambazo walihitajika kufanya katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na kuwatia moyo wazifanye kikamilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Aliwateua makuhani kwa kazi zao ambazo walihitajika kufanya katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na kuwatia moyo wazifanye kikamilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Aliwateua makuhani kwa kazi zao ambazo walihitajika kufanya katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na kuwatia moyo wazifanye kikamilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu la bwana. Tazama sura |