2 Mambo ya Nyakati 35:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Naye Yosia akamfanyia BWANA Pasaka huko Yerusalemu; wakachinja Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mfalme Yosia aliadhimisha Pasaka mjini Yerusalemu, wakachinja wanakondoo wa Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mfalme Yosia aliadhimisha Pasaka mjini Yerusalemu, wakachinja wanakondoo wa Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mfalme Yosia aliadhimisha Pasaka mjini Yerusalemu, wakachinja wanakondoo wa Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Yosia akaadhimisha Pasaka kwa Mwenyezi Mungu katika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Yosia akaadhimisha Pasaka kwa bwana katika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Tazama sura |