2 Mambo ya Nyakati 34:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kulia wala kwa kushoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu. Alifuata njia zake Daudi babu yake, na kushika amri za Mwenyezi-Mungu kwa dhati. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu. Alifuata njia zake Daudi babu yake, na kushika amri za Mwenyezi-Mungu kwa dhati. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu. Alifuata njia zake Daudi babu yake, na kushika amri za Mwenyezi-Mungu kwa dhati. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akafanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akafanya yaliyo mema machoni pa bwana na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto. Tazama sura |