Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 34:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya torati, aliyararua mavazi yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mfalme aliposikia yale maneno ya Torati, akayararua mavazi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mfalme aliposikia yale maneno ya Torati, akayararua mavazi yake.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 34:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa mfalme Hezekia aliposikia hayo, alizirarua nguo zake, akajivika nguo za magunia, akaingia katika nyumba ya BWANA.


Ikawa, mfalme alipokwisha kuyasikia maneno ya kitabu hicho cha torati, alirarua nguo zake.


kwa kuwa moyo wako ulikuwa mwororo, nawe ukajinyenyekeza mbele za BWANA, hapo ulipoyasikia maneno niliyoyanena juu ya mahali hapa, na juu ya wenyeji wake, ya kwamba watakuwa ukiwa na laana, nawe ulizirarua nguo zako, ukalia mbele zangu; basi, mimi nami nimekusikia wewe, asema BWANA.


Shafani mwandishi akamweleza mfalme, akisema, Hilkia kuhani amenipa kitabu. Shafani akasoma ndani yake mbele ya mfalme.


Mfalme akawaamuru Hilkia, na Ahikamu, mwana wa Shafani, na Abdoni, mwana wa Mika, na Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wa mfalme, kusema,


Naye Nehemia, ndiye aliyekuwa Tirshatha, na Ezra kuhani, mwandishi, na Walawi waliowafundisha watu, wakawaambia watu wote, Siku hii ni takatifu kwa BWANA, Mungu wenu; msiomboleze wala msilie. Maana watu wote walilia, walipoyasikia maneno ya torati.


rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi kuadhibu.


kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.


Maana mimi kwa njia ya sheria niliifia sheria ili nimwishie Mungu.


Yoshua akararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA hadi jioni, yeye na wazee wa Israeli; wakatia mavumbi vichwani mwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo