2 Mambo ya Nyakati 34:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Nao wameimimina fedha iliyoonekana nyumbani mwa BWANA, nayo wameitia mikononi mwa wasimamizi, na mikononi mwa watenda kazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Wametoa fedha zilizopatikana katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, halafu wamezikabidhi kwa wasimamizi na mafundi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Wametoa fedha zilizopatikana katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, halafu wamezikabidhi kwa wasimamizi na mafundi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Wametoa fedha zilizopatikana katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, halafu wamezikabidhi kwa wasimamizi na mafundi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wamelipa fedha zilizokuwa katika Hekalu la Mwenyezi Mungu na wamewakabidhi wasimamizi na wafanyakazi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wamelipa fedha zilizokuwa katika Hekalu la bwana na wamewakabidhi wasimamizi na wafanyakazi.” Tazama sura |