Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 33:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Wakamfanyia fitina watumishi wake, wakamwua katika nyumba yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Baadaye watumishi wake walikula njama na kumuua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Baadaye watumishi wake walikula njama na kumuua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Baadaye watumishi wake walikula njama na kumuua katika ikulu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Watumishi wa Amoni wakampangia njama, nao wakamuua ndani ya jumba lake la kifalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 33:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.


Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.


Akamtafuta Ahazia, wakamkamata, (naye alikuwa amejificha Samaria,) wakamleta kwa Yehu, wakamwua; wakamzika, kwa maana wakasema, Huyu ni mwana wa Yehoshafati, huyo aliyemtafuta BWANA kwa moyo wake wote. Wala nyumba ya Ahazia hawakuwa na uwezo wa kuushika ufalme.


Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliomfanyia fitina mfalme Amoni; watu wa nchi wakamfanya Yosia mwanawe awe mfalme badala yake.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Tazama, basi, wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, ukikaa katika wema huo; kama sivyo, wewe nawe utakatiliwa mbali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo