2 Mambo ya Nyakati 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Basi Manase akalala na babaze, wakamzika nyumbani mwake; na Amoni mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Manase alifariki na kuzikwa katika ikulu yake, naye Amoni, mwanawe, akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Manase alifariki na kuzikwa katika ikulu yake, naye Amoni, mwanawe, akatawala mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Manase alifariki na kuzikwa katika ikulu yake, naye Amoni, mwanawe, akatawala mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Manase akalala na baba zake, akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Manase akalala pamoja na baba zake akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |