2 Mambo ya Nyakati 33:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Lakini watu wakaendelea kutoa dhabihu katika mahali pa juu, ila wakamtolea BWANA, Mungu wao tu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Hata hivyo watu waliendelea kutoa sadaka mahali pa kufanyia ibada, lakini kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wao tu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Hata hivyo watu waliendelea kutoa sadaka mahali pa kufanyia ibada, lakini kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wao tu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Hata hivyo watu waliendelea kutoa sadaka mahali pa kufanyia ibada, lakini kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wao tu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Hata hivyo watu wakaendelea kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia, lakini wakawa wakimtolea Mwenyezi Mungu, Mungu wao, peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Lakini hata hivyo watu wakaendelea kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia miungu, lakini wakimtolea bwana Mwenyezi Mungu wao peke yake. Tazama sura |