2 Mambo ya Nyakati 32:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Katika siku hizo Hezekia akaugua akawa katika hatari ya kufa; akamwomba BWANA; naye akasema naye, akampa ishara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Wakati huo, Hezekia aliugua sana, karibu na kufa. Akamwomba Mwenyezi-Mungu, naye akamjibu na kumpa ishara. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Wakati huo, Hezekia aliugua sana, karibu na kufa. Akamwomba Mwenyezi-Mungu, naye akamjibu na kumpa ishara. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Wakati huo, Hezekia aliugua sana, karibu na kufa. Akamwomba Mwenyezi-Mungu, naye akamjibu na kumpa ishara. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Akamwomba Mwenyezi Mungu, ambaye alimjibu na kumpa ishara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Akamwomba bwana, ambaye alimjibu na kumpa ishara. Tazama sura |