2 Mambo ya Nyakati 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na watumishi wake wakazidi kusema juu ya BWANA Mungu, na juu ya Hezekia, mtumishi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya Bwana Mwenyezi Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya bwana aliye Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia. Tazama sura |