2 Mambo ya Nyakati 31:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Hata walipokuja Hezekia na wakuu, na kuyaona yale mafungu, wakamhimidi BWANA, na watu wake Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mfalme Hezekia na maofisa wake walipokuja kuyaona mafungu hayo, walimtukuza Mwenyezi-Mungu na watu wake wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mfalme Hezekia na maofisa wake walipokuja kuyaona mafungu hayo, walimtukuza Mwenyezi-Mungu na watu wake wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mfalme Hezekia na maofisa wake walipokuja kuyaona mafungu hayo, walimtukuza Mwenyezi-Mungu na watu wake wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu Mwenyezi Mungu na kuwabariki watu wake Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu bwana na kuwabariki watu wake Israeli. Tazama sura |