Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 30:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 BWANA akamsikia Hezekia, akawaponya watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mwenyezi-Mungu alikubali ombi la Hezekia, akawasamehe watu hao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mwenyezi-Mungu alikubali ombi la Hezekia, akawasamehe watu hao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mwenyezi-Mungu alikubali ombi la Hezekia, akawasamehe watu hao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Naye Mwenyezi Mungu akamsikia Hezekia akawaponya watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Naye bwana akamsikia Hezekia akawaponya watu.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 30:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Sarai akamwambia Abramu, kwa kuwa BWANA amenifunga tumbo nisizae, sasa mwingilie mjakazi wangu, labda nitapata uzao kutoka kwake. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.


Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote,


akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo