2 Mambo ya Nyakati 30:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 aukazaye moyo wake kumtafuta Mungu, BWANA, Mungu wa babaze, hata ikiwa si kwa utakaso wa patakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 atakayekuomba kwa moyo wake wote wewe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zake, hata ingawa si msafi kulingana na sheria za utakaso.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 atakayekuomba kwa moyo wake wote wewe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zake, hata ingawa si msafi kulingana na sheria za utakaso.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 atakayekuomba kwa moyo wake wote wewe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zake, hata ingawa si msafi kulingana na sheria za utakaso.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 ambaye anauelekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Mwenyezi Mungu, Mungu wa baba zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria za mahali patakatifu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 ambaye anauelekeza moyo wake kumtafuta Mungu, bwana, Mungu wa baba zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria za mahali patakatifu.” Tazama sura |