2 Mambo ya Nyakati 3:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Nayo nyumba kubwa ilizungushiwa miti ya miberoshi, aliyoifunikiza kwa dhahabu safi, juu yake akaichora mitende na minyororo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Ukumbi ulizungushiwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuchorwa mifano ya miti ya mitende na minyororo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Ukumbi ulizungushiwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuchorwa mifano ya miti ya mitende na minyororo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Ukumbi ulizungushiwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuchorwa mifano ya miti ya mitende na minyororo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za msunobari, na kufunikwa kwa dhahabu safi, na kuupamba kwa michoro ya mitende na minyororo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo. Tazama sura |