Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 29:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Akawaingiza makuhani na Walawi, akawakusanya uwanjani upande wa mashariki,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Aliwaingiza makuhani na Walawi, kisha akawakusanya uani upande wa mashariki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Aliwaingiza makuhani na Walawi, kisha akawakusanya uani upande wa mashariki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Aliwaingiza makuhani na Walawi, kisha akawakusanya uani upande wa mashariki,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 29:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, katika mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya BWANA, akaitengeneza.


akawaambia, Nisikieni, enyi Walawi; jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya BWANA, Mungu wa baba zenu, mkautoe uchafu katika patakatifu.


Akaweka makamanda wa vita juu ya watu, akawakusanya kwake uwandani penye lango la mji, akawatia moyo; akisema,


Na baada yake akajenga Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki.


ukatoke uende mpaka bonde la mwana wa Hinomu lililo karibu na mahali pa kuingia kwa lango la vigae, ukahubiri huko maneno nitakayokuambia,


kisha watatwaa mawe mengine, na kuyatia mahali pa mawe hayo; naye atatwaa chokaa nyingine, na kuipaka chokaa hiyo nyumba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo