2 Mambo ya Nyakati 29:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Basi nia yangu ni kufanya agano na BWANA, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali itugeukie mbali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Sasa, nimeamua kwa dhati kufanya agano na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ili asitukasirikie zaidi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Sasa, nimeamua kwa dhati kufanya agano na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ili asitukasirikie zaidi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Sasa, nimeamua kwa dhati kufanya agano na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, ili asitukasirikie zaidi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kufanya agano na Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kuweka Agano na bwana, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi. Tazama sura |