2 Mambo ya Nyakati 28:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Na wakati alipofadhaishwa, akazidi kumwasi BWANA, huyo mfalme Ahazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Wakati alipokuwa taabuni zaidi, mfalme huyu Ahazi alizidi kumwasi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Wakati alipokuwa taabuni zaidi, mfalme huyu Ahazi alizidi kumwasi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Wakati alipokuwa taabuni zaidi, mfalme huyu Ahazi alizidi kumwasi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa bwana. Tazama sura |