2 Mambo ya Nyakati 28:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kwa kuwa Waedomi walikuwa wamekuja tena, na kuwapiga Yuda, na kuwachukua wafungwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 kwa sababu Waedomu walikuwa wamekuja tena, wakaivamia nchi ya Yuda, wakawashinda na kuchukua mateka wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 kwa sababu Waedomu walikuwa wamekuja tena, wakaivamia nchi ya Yuda, wakawashinda na kuchukua mateka wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 kwa sababu Waedomu walikuwa wamekuja tena, wakaivamia nchi ya Yuda, wakawashinda na kuchukua mateka wengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka. Tazama sura |