2 Mambo ya Nyakati 27:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Basi Yothamu akawa na nguvu, kwa kuwa alizitengeneza njia zake mbele za BWANA, Mungu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mfalme Yothamu aliendelea kuwa mwenye nguvu, kwa sababu aliishi kwa kumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mfalme Yothamu aliendelea kuwa mwenye nguvu, kwa sababu aliishi kwa kumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mfalme Yothamu aliendelea kuwa mwenye nguvu, kwa sababu aliishi kwa kumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za bwana Mwenyezi Mungu wake. Tazama sura |