2 Mambo ya Nyakati 26:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Akajitia nia amtafute Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa na fahamu katika maono ya Mungu; na muda alipomtafuta BWANA, Mungu alimfanikisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Alimtumikia Mwenyezi-Mungu kwa uaminifu wakati wa kuishi kwa Zekaria, aliyemfundisha kumtii Mungu. Kadiri alivyomtafuta Mungu, Mungu alimfanikisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Alimtumikia Mwenyezi-Mungu kwa uaminifu wakati wa kuishi kwa Zekaria, aliyemfundisha kumtii Mungu. Kadiri alivyomtafuta Mungu, Mungu alimfanikisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Alimtumikia Mwenyezi-Mungu kwa uaminifu wakati wa kuishi kwa Zekaria, aliyemfundisha kumtii Mungu. Kadiri alivyomtafuta Mungu, Mungu alimfanikisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu alimfanikisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta bwana, Mungu alimfanikisha. Tazama sura |