Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 26:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, vile Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 26:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na miwili huko Yerusalemu. Na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA; akafanya kama yote aliyoyafanya Uzia baba yake.


Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA siku zote za Yehoyada kuhani.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, lakini si kwa moyo mkamilifu.


Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na miwili; na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akajitia nia amtafute Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa na fahamu katika maono ya Mungu; na muda alipomtafuta BWANA, Mungu alimfanikisha.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama alivyofanya Uzia babaye; isipokuwa hakuingia hekaluni mwa BWANA. Lakini watu waliendelea kufanya maovu.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama aliyoyafanya Daudi babaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo