2 Mambo ya Nyakati 26:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Basi mambo yote ya Uzia yaliyosalia, ya kwanza na ya mwisho, aliyaandika Isaya nabii, mwana wa Amozi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Matendo mengine yote ya mfalme Uzia kutoka mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Matendo mengine yote ya mfalme Uzia kutoka mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Matendo mengine yote ya mfalme Uzia kutoka mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. Tazama sura |