2 Mambo ya Nyakati 26:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Huyo akajenga Elathi, akaurudisha kwa Yuda, baada ya kulala mfalme pamoja na babaze. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Halafu baada ya kifo cha baba yake aliujenga upya mji wa Elothi na kuurudisha kwa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Halafu baada ya kifo cha baba yake aliujenga upya mji wa Elothi na kuurudisha kwa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Halafu baada ya kifo cha baba yake aliujenga upya mji wa Elothi na kuurudisha kwa Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ndiye aliijenga upya Elathi na kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala na baba zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake. Tazama sura |