2 Mambo ya Nyakati 26:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Azaria kuhani akaingia nyuma yake, na pamoja naye makuhani themanini wa BWANA, mashujaa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Lakini kuhani Azaria, pamoja na makuhani wengine mashujaa themanini, wakamfuata mfalme Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Lakini kuhani Azaria, pamoja na makuhani wengine mashujaa themanini, wakamfuata mfalme Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Lakini kuhani Azaria, pamoja na makuhani wengine mashujaa themanini, wakamfuata mfalme Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa Mwenyezi Mungu wenye ujasiri wakamfuata ndani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa bwana wenye ujasiri wakamfuata huko ndani. Tazama sura |