2 Mambo ya Nyakati 25:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Basi ikawa, alipojiimarisha katika ufalme wake, akawaua watumishi wale waliomwua mfalme babaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Baada ya ufalme kuimarika mkononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake. Tazama sura |