Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 25:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Naye Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na mitano baada ya kufa kwake Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Amazia mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha mfalme Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Amazia mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha mfalme Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Amazia mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha mfalme Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 25:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda alianza kutawala.


Na mambo yote ya Amazia yaliyosalia, ya kwanza hadi mwisho, tazama, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo