Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Mambo ya Nyakati 25:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Yuda wakashindwa na Israeli; wakakimbia kila mtu hemani kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Watu wa Yuda walishindwa na watu wa Israeli na kila mmoja alirudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Watu wa Yuda walishindwa na watu wa Israeli na kila mmoja alirudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Watu wa Yuda walishindwa na watu wa Israeli na kila mmoja alirudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili




2 Mambo ya Nyakati 25:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikapigwa mbiu jeshini, jua likichwa, kusema, Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake.


Basi mambo yote ya Yehoashi yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake aliopigania na Amazia mfalme wa Yuda, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Israeli?


Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea; wakatazamana uso kwa uso, yeye na Amazia mfalme wa Yuda huko Beth-shemeshi, ulio wa Yuda.


Yehoashi mfalme wa Israeli akamtwaa Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-shemeshi, akamchukua mpaka Yerusalemu, akauvunja ukuta wa Yerusalemu, toka lango la Efraimu mpaka Lango la Pembeni, dhiraa mia nne.


Wafilisti wakapigana nao, Israeli wakapigwa, wakakimbia kila mtu hemani kwake; wakauawa watu wengi sana; maana katika Israeli walianguka watu elfu thelathini walioenda vitani kwa miguu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo