2 Mambo ya Nyakati 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, lakini si kwa moyo mkamilifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, lakini sio kwa moyo wake wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akatenda yaliyo mema machoni pa bwana, lakini sio kwa moyo wake wote. Tazama sura |