2 Mambo ya Nyakati 25:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Amazia akapiga moyo konde, akawaongoza watu wake, akaenda mpaka Bonde la Chumvi, akawapiga katika wana wa Seiri watu elfu kumi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Amazia alijipa moyo akaliongoza jeshi lake hadi Bonde la Chumvi. Hapo akapigana na kuwaua watu 10,000 wa Seiri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Amazia alijipa moyo akaliongoza jeshi lake hadi Bonde la Chumvi. Hapo akapigana na kuwaua watu 10,000 wa Seiri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Amazia alijipa moyo akaliongoza jeshi lake hadi Bonde la Chumvi. Hapo akapigana na kuwaua watu 10,000 wa Seiri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake hadi Bonde la Chumvi, ambako aliwaua watu elfu kumi wa Seiri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri. Tazama sura |